Friday, February 4, 2011

BAADA MUDA MREFU SASA 5EFECT MOVIES KUFANYA KAZI NA RICHIE

 Kwa kweli amini usiamini lakini ukweli ni kwamba tangu ianze tasnia ya filamu hapa Tanzania haikuwahi kutokea kampuni ya 5efect movies kufanya kazi na RICHIE. Mkurugenzi wa 5efect movies bw Wiliam j Mtitu safari hii ameamua kufanya kazi na Richie. Nimeamua kufanya kazi na Richie kwa sababu ni msanii mzuri na mwenye kiwango cha hali ya juu.(Alisema Mtitu)
 Richie akiwa katika scene
 Camera man Denic, Richie na msanii chipukizi lizzy wakiwa mzigoni.
 Richie na Lizzy kwenye scene.
 Single Mtambalike au Richie, pi wasanii wenzie wanamuita DENZEL wa bongo hapa akikamua
Kwa kuwa Richie ni director wakati mwengine aliingilia kati kuelekeza. hapa alikuwa akimuelekeza lizzy jinsi ya kucheza.

No comments:

Post a Comment